Rais wa Ujerumani Frank-Walter Steinmeier ameanza ziara yake nchini Italia kwa kupongeza msimamo wa serikali mpya ya mseto ya nchini Italia wa kuunga mkono Umoja wa Ulaya//Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Iran amesema shambulio lolote dhidi ya nchi yake, kufuatia hujuma dhidi ya miundombinu ya mafuta ya Saudi Arabia litasababisha vita kamili