Syria imeutolea wito Umoja wa Ulaya na Marekani kuondoa vikwazo kwa nchi hiyo na nyengine wakati huu ambapo ulimwengu unakabiliwa na janga la virusi vya Corona// Serikali ya Kenya imewatahadharisha wanaosambaza taarifa kupotosha kuhusu virusi vya Corona kuwa watachukuliwa hatua za kisheria