Putin ameshinda kwa urahisi katika uchaguzi wa urais/ Syria: Bomu lililoripuka katika jengo moja la ghorofa nne katika mji wa Afrin limesababisha vifo vya watu 11/ DRC: Kanisa Katoliki limesitisha kwa muda maandamano yake ya kumpinga Rais Kabila kwa kile linachoelezea kuwa ni kuwapa nafasi wanasiasa ili kupata ufumbuzi wa tofauti zao/ UN: Dunia yahitaji sera salama za maji