1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

19.01.2021 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S19 Januari 2021

WHO yazilaumu nchi tajiri kwa kujilimbikizia chanjo za COVID-19/ Timu ya mawakili imewasilisha rufaa katika mahakama kuu ya Uganda ikitaka kuachiwa kwa aliyekuwa mgombea urais Robert Kyagulanyi pamoja mkewe Barbara Itungo/ Mazungumzo ya Rais Tshisekedi na wapinzani yakwama/ Ghasia zaendelea nchini Tunisia kwa siku ya nne mfululizo/ Dodoma: Ufunguzi wa maadhimisho ya lugha ya kiswahili

https://p.dw.com/p/3o8Rc