WHO yazilaumu nchi tajiri kwa kujilimbikizia chanjo za COVID-19/ Timu ya mawakili imewasilisha rufaa katika mahakama kuu ya Uganda ikitaka kuachiwa kwa aliyekuwa mgombea urais Robert Kyagulanyi pamoja mkewe Barbara Itungo/ Mazungumzo ya Rais Tshisekedi na wapinzani yakwama/ Ghasia zaendelea nchini Tunisia kwa siku ya nne mfululizo/ Dodoma: Ufunguzi wa maadhimisho ya lugha ya kiswahili