1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

18.12.2016 Taarifa ya habari asubuhi

V2 / S12S18 Desemba 2016

Umoja wa Mataifa utapiga kura ya kuwatuma waangalizi Aleppo/ Rais wa Baraza la Ulaya Donald Tusk amekitaka chama tawala nchini Poland kuheshimu katiba/ Na mazungumzo ya kutafuta ufumbuzi wa mgogoro wa kisiasa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yameahirishwa

https://p.dw.com/p/2UTNp