Kim Jong Un asifu utulivu rasi ya Korea/ Bunge lamuunga mkono Kenyatta kodi ya mafuta/ Makao makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki mjini Arusha/ Uhalali wa bangi Afrika Kusini/ Berlin: Muda mfupi kabla ya mazungumzo muhimu ya viongozi wa vyama vinavyounda serikali kuu ya muungano kuhusu mustakbal wa mwenyekiti wa idara ya upelelezi wa ndani, Hans-Georg Maaßen