Mkutano wa kilele wa 42 wa wakuu wa nchi zinazounda Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika ulimalizika jana Jumatano huko Kinshasa, mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo+++Vikosi vya Urusi vyaonekana Mali baada ya wanajeshi wa Ufaransa kuondoka+++Zelensky: Umoja wa Mataifa unapaswa kuhakikisha usalama wa kinu cha nyuklia Zaporizhzhia.