Tume ya taifa ya uchaguzi nchini Tanzania NEC imesema, kwa kiwango kikubwa imekamilisha maandalizi ya uchaguzi mkuu/ Wanajeshi wajaribu kuasi Mali, milio ya risasi nje ya kambi/ Jopo maalum la UN kwa Lebanon laanza kutoa uamuzi katika kesi ya mauaji ya Rafik Hariri / Rwanda: Miezi 6 tangu kufa Kizito Mihigo haki haijapatikana/ Burundi: Watu 413 wamekutwa na virusi vya Corona