Zaidi ya watu elfu 300,000 wamekimbia makwao kufuatia machafuko ya kikabila kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo katika/ Uingereza: Zoezi la kumchagua atakaemrithi May kama waziri mkuu na mwenyekiti wa chama cha kihafidhina litaendelea leo usiku/ Serikali ya Burundi imelisimamisha shirika la maendeleo ya kiraia la Parcem/ Italia na Brazil kuumana katika dimba la wanawake