Ripoti ya kila mwaka ya shirika la waandishi wa habari wasio na mipaka RSF, imeonya kuwa chuki dhidi ya waandishi wa habari inayochochewa na viongozi wa mirengo mikali na wa kiimla imegeuka kuwa vurugu kote ulimwenguni// Ni wiki moja sasa tangu jeshi la Sudan lilipomng'oa madarakani aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Omar Hassan Al Bashir.