Tanzania: Zitto Kabwe amepatikana na mashitaka ya kujibu mbele ya mahakama jijini Dar es Salaam, ikiwa ni siku moja baada ya kurejea nchini humo akitokea kwenye ziara ya mataifa kadhaa ya kigeni/ Ushahidi: China inawafunga Wauighur bila sababu za msingi/ WHO yaonya watu kutokuwa na hofu iliyopitiliza kuhusu Corona/ Assange aungwa mkono na madakatari na waandishi habari