Mbunge wa jimbo la Kyadondo(Chadondo) Mashariki nchini Uganda, Robert Kyagulani(Chagulanyi) Ssentamu, maarufu Bobby Wyne yuko kizuizini kwenye gereza la kijeshi nchini humo akituhumiwa kwa makosa matatu ya umiliki wa silaha kinyume cha sheria, lakini pia ushiriki wake kwenye machafuko katika eneo la Arua, yaliyochangia kushambuliwa kwa msafara wa magari ya rais Yoweri Museveni.