Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Joto la Uchaguzi Mkuu nchini Tanzania linazidi kupamba moto// Kiasi cha wafuasi mia tatu wa chama cha ACT wazalendo nchini Tanzania wameandamana// Nchini Uganda homa ya uchaguzi inazidi kupanda kufuatia muungano wa vyama vya upinzani TDA kutangaza mpango wake wa kuteua wagombea wa pamoja