Waziri wa Afya wa Ujerumani, Jens Spahn amesema mfumo wa huduma ya afya nchini humo, umefanikiwa kudhibiti mripuko wa virusi vya corona// Wagonjwa wa corona wafikia 147, Tanzania// wakaazi wa mitaa ya mabanda na wazee katika jamii wana kila sababu ya kushusha pumzi baada ya serikali kuwatengea kifurushi maalum cha bidhaa za matumizi// Msimamo wa kuwauwa wahalifu, Kenya wazua wasiwasi.