Kenya yaanza awamu ya pili ya kuwasajili wapiga kura wapya/ Tanzania: CCM yaanza mchakato wa kutafuta spika mpya/ Sudan: Madaktari wameandamana kupinga mashambulizi wanayodai yanafanywa na maafisa wa usalama dhidi ya maafisa wa afya/ Oxfam: Mabilionea watajirika maradufu wakati wa Covid-19/ Nigeria: Ndoa za utotoni bado tatizo kubwa