Miripuko ya mabomu katika kitovu cha mji wa Kampala asubuhi ya leo imesababisha hofu na wasiwasi mkubwa miongoni mwa watu+++Wafungwa watatu waliokutwa na hatia ya ugaidi nchini Kenya wametoroka kutoka gereza lenye ulinzi mkali la Kamiti mjini Nairobi+++Makumi ya watu wameuawa katika muaji mapya huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo katika siku za hivi karibuni.