Viongozi mbalimbali wa jumuiya ya maendeleo kusini mwa Afrika SADC wamekuwa wakiwasili nchini Tanzania kwa ajili ya kushiriki mkutano wa kilele wa jumuiya hiyo unaoanza kesho jijini Dar es salaam//Mamia ya waandamanaji wameingina mitaani katika mji mkuu wa Kashmir Srinagar