SiasaKimataifa16.07.2021 - Taarifa ya Habari ya AsubuhiTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaKimataifaRashid Chilumba16.07.202116 Julai 2021Kansela wa Ujerumani Angela Merkel amekutana na rais wa Marekani Joe Biden mjini Washington. Ujerumani imetuma mamia ya wanajeshi kusaidia uokozi kwenye majimbo yenye mafuriko. Idadi ya waliokufa katika ghasia nchini Afrika Kusini yafikia 117. https://p.dw.com/p/3wYPJMatangazo