Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz na Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron wamelaani vikali kile walichokiita "uhalifu uliofanywa na wanajeshi wa Urusi nchini Ukraine"+++Kenya- Rais Uhuru Kenyatta ataka jeshi la Afrika Mashariki litumwe DRC+++Chama cha upinzani nchini Tanzania, ACT Wazalendo, leo kimekosoa vikali bajeti ya serikali iliyosomwa bungeni nawaziri wa fedha.