Nchini Tanzania Rais John Pombe Magufuli amelifunga rasmi bunge la 11 na kufungua njia ya kuanza rasmi kwa mchakato wa kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba mwaka huu> Mahojiano/ Mikutano ya kampeni yapigwa marufuku Uganda/ Korea Kaskazini yairipuwa ofisi ya pamoja na Korea Kusini/ Siku ya Mtoto wa Afrika