Migawanyiko kuhusu uhamiaji inaendelea kushuhudiwa kati ya viongozi wa serikali ya muungano nchini Ujerumani // China imelipiza kisasi kwa kutangaza ushuru wa thamani ya dola bilioni 50 kwa bidhaa za Marekani // Na aliyekuwa makamu wa rais wa Congo, Jean-Pierre Bemba, amejiunga na familia yake nchini Ubelgiji baada ya kufutiwa mashitaka na mahakama ya ICC