Naibu wa rais wa Kenya William Ruto ametishia kukihama chama cha Jubilee iwapo kitaendelea kuwavuruga viongozi wanaogemea upande wake/ Tanzani: Mgawiko katika utetezi wa utawala wa aliyekuwa rais Hayati Magufuli/ UN: Ukatili wa kijinsia na ubakaji unatumiwa kama silaha Tigray, Ethiopia/ Watu wanane wameuawa baada ya kupigwa risasi kwenye mji wa Indianapolis