WHO yaskitishwa na uamuzi wa Marekani wa kusitisha ufadhili// Shirika la fedha la kimataifa, IMF limeamua kutoa mikopo ya dharura kwa nchi masikini pamoja na kusimamisha ulipaji wa riba za madeni kwa nchi hizo// Tanzania kumekuwa na ongezeko la shinikizo la kutaka hatua kali zaidi zichukuliweili kudhibiti kusambaa kwa maambukizi ya virusi vya Corona// EU: Hali nchini Msumbiji inatia wasiwasi.