1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

16.03.2017 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S16 Machi 2017

Mhafidhina anaefuata siasa za kiliberali, waziri mkuu Mark Rutte anaonyesha kuibuka na ushindi dhidi ya mpizani wake, anaepalilia chuki dhidi ya waislam na dhidi ya Umoja wa Ulaya Geert Wildert// Nchini Tanzania Jeshi la polisi linamshikilia Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu kwa madai ya kukiuka masharti ya dhamana ya polisi.

https://p.dw.com/p/2ZHbs