1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

16.01.2025 Taarifa ya Habari ya Asubuhi

16 Januari 2025

Israel na Hamas wafikia makubaliano ya kusitisha mapigano huko Gaza. +++ Waasi wa ADF waua watu 10 mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. +++ Rais wa Marekani Joe Biden atoa hotuba ya kuaga na kuelezea wasiwasi wake kuhusu utawala ujao wa Trump.

https://p.dw.com/p/4pBXI