Sudan: Idadi ya waliouawa tangu jeshi kuchukuwa tena madaraka imefikia watu 23/ Uganda: Kumeibuka maswali juu ya kutokuwepo usawa linapokuja suala la kuviwajibisha vikosi vya usalama vinavyodaiwa kuhusika na mauaji/ Dar es Salaam: Sakata la uhaba wa maji limechukua sura mpya/ Libya: Mtoto wa hayati Muamar Gaddafi ametangaza dhamira yake ya kuwania kiti cha urais/ Ulaya yaongeza vikwazo Belarus