Biden aahidi dozi milioni 17 ya chanjo ya corona kwa Afrika huku akikutana na Rais Kenyatta wa Kenya+++Wakaazi wa Beni mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamefanya kumbukumbu ya kile wanachokiita Salongo ama "Mauaji ya Mapanga" +++Zaidi ya waasi 150 wa Yemen wauawa katika mashambulizi Yemen.