Dar es Salaam: Wagombea wa vyama vya siasa wanaowania kuwakilisha wananchi katika majimbo wameendelea kunadi sera zao, huku baadhi ya majimbo yakishuhudia mchuano mkali/ Mahojiano: Usalama kwenye migodi/ Moto katika kambi ya wakimbizi ya Moria: Umoja wa Ulaya umetoa kauli nyingi zinazoonekana kutokuwa na mshiko na hakuna lingine la kutoa/ Matumaini ya mageuzi nchini China yanaongezeka