Mawaziri wa mambo ya nje wa nchi za Umoja wa Ulaya wanatarajia kwamba watafaulu kuupunguza mvutano uliopo kati ya Marekani na Iran/ Kongo: Wakaazi mjini Goma wana wasiwasi mkubwa baada ya Wizara ya afya kuthibitisha kisa cha kwanza cha Ebola katika mji huo/ Kenya: Walinzi wa kampuni binafsi wamepewa mamlaka ya kubeba silaha kadhalika kuwakamata wahalifu na kuwakabidhi kwa vyombo vya usalama.