1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

15.06.2021 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S15 Juni 2021

Mkutano wa NATO wakamilika kwa kuzikemea China na Urusi/ Tanzania: Vyama vya siasa vimesikitishwa na kulaani vikali kauli ya chama tawala iliyosisitiza kuwa katiba mpya na tume huru ya uchaguzi si kipaumbele kwa sasa/ Maandamano ya Mayahudi wenye msimamo mkali yazusha wasiwasi Jerusalem Mashariki/ Laschet: Kwa Urusi 'unapaswa kuzungumza zaidi, siyo kidogo'/ Siku ya kuhamasisha umma kuhusu wazee

https://p.dw.com/p/3uy4X