Waandamanaji wa Sudan bado wamekaa nje ya makao makuu ya jeshi katika jiji la Khartoum// Shirika la kutetea Haki za Binadamu Ulimwenguni, HRW, limeitaka serikali ya Afrika Kusini kuwakamata na kuwafungulia mashtaka waliohusika na visa vya mauaji na mashambulizi dhidi ya raia wa kigeni nchini humo.