1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

15.04.2019 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S15 Agosti 2019

Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini aliyewasili jana usiku nchini Tanzania, leo asubuhi atakuwa na mazungumzo maalumu na mwenyeji wake, Rais John Magufuli// Tume ya Zondo inaiweka wazi mitandao ya rushwa iliyokita mizizi katika vyombo vya serikali wakati wa utawala wa Rais wa zamani Jabob Zuma kuanzia mwaka wa 2009 hadi 2018.

https://p.dw.com/p/3Nw9j