1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

15.03.2017 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S15 Machi 2017

Waholanzi leo wanapiga kura ya kuchagua wabunge/ Macho na masikio ya Wakenya yanaelekezwa katika jengo la Bunge mjini Nairobi, ambako rais wa nchi hiyo Uhuru Kenyatta anatarajiwa mchana wa leo kutoa hotuba inayoelezea hali ya taifa/ Baada ya kumalizika mkutano mkuu maalumu wa chama tawala nchini Tanzania chama cha mapinduzi CCM kimeazimia kufanya mabadiliko mengine makubwa ndani ya chama hicho.

https://p.dw.com/p/2ZDn7