Bobi Wine asema yuko chini ya ´kizuizi cha nyumbani´/ Vyombo vya habari vya Tanzania viliegemea upande wa chama tawala/ Kamati ya wataalam wa mazingira kutoka nchi za ukanda wa ziwa Tanganyika wanakutana kujadili uendelevu wa ziwa hilo na bonde lake/ Wakuu wa mataifa ya Ghuba ya Kiarabu wamekutana hii leo/ Uingereza, Ufaransa kuchukua hatua mpya kukabiliana na Omicron