Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni pamoja na:Ndege za kijeshi za Urusi zimeshambulia maeneo 40 ya wapiganaji wa Dola la Kiislamu nchini Syria//Waziri wa mambo ya kigeni wa Ufaransa Laurent Fabius atajadili wimbi la mashambulizi nchini Israel pamoja na mwenzake wa marekani John Kerry leo.