Sheikh Ponda Issa bado anashikiliwa na polisi Tanzania// Baadhi ya viongozi wa dini ya Kiisilamu na Kikristo nchini Kenya wamesema hawatafungua sehemu za kuabudu// Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amehudhuria gwaride ndogo la kijeshi la Julai 14.// China yaituhumu Marekani kwa kuchochea mzozo // Kesi dhidi ya kiranja wa wapiganaji wa Timbuktu yaanza ICC.