Visa vya COVID 19 vyazidi kuenea Uganda/ Odinga amemtaka Kenyatta kuwaelezea bayana Wakenya sababu za kukataa kuwateua majaji sita kama walivyopendekezwa na Tume ya Idara ya Mahakama/ Viongozi duniani wampongeza Waziri Mkuu mpya wa Israel/ China yaliponda kundi la G7 kwa 'upotoshaji'/ Ripoti ya SIPRI: Bado kiwango cha silaha zinazoweza kutumiwa kinaongezeka