Wapalestina 6 wameuwawa huko Ukingo wa Magharibi kufuatia makabiliana na Waisrael// Wazungu waliokolea kwanza katika shambulizi la Msumbiji// Watoto wawili kutoka familia za mitaani ni kati ya wanafunzi 143,000 ambao watajiunga na vyuo vikuu//Baraza la Waislamu Nchini Tanzania BAKWATA limeitaka Serikali kuhakikisha inafanya utafiti wa kutosha juu ya chanjo za CORONA .