Waziri wa nje wa Marekani Pompeo akutana na Lavrov wa Urusi/ Bomba la mafuta la Saudi Arabia lashambuliwa/ Kenya: Mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa kutoka Naivasha hadi Kisumu > Mahojiano/ Wafanyabishara wakubwa wa makampuni na viwanda kutoka nchi wananchama wa jumuiya ya Africa mashariki na Ujerumani, wamekutana leo katika mkutano uliojadili uwekezaji wa kibiashara, baina ya nchi zao