Mamlaka ya usimamizi wa huduma za polisi nchini Kenya, IPOA, imeanzisha uchunguzi wa matukio ambapo washukiwa wamefariki mikononi mwa polisi+++Al-Shaabab yatishia kuishambulia Kenya+++Watu wengine 2 wauawa katika maandamano Sudan+++Mawaziri wa mambo ya nje wa Umoja wa Ulaya leo watajadili uhusiano baina ya muungano huo na China na Belarus.