Kitabu chake rais mstaafu wa Tanzania, Benjamin Mkapa, kilizinduliwa leo jijini Dar es salaam/ Je, kauli ya Mkapa ya kwamba chama cha CCM kinafanya mambo yake kama vile bado kipo katika mfumo wa chama kimoja ni onyo rai au mtazamo tu?/ Bolivia inakabiliwa na mkwamo wa kisiasa baada ya Rais Morales kukimbilia nchini Mexico/ Uingereza: Udukuzi wa mtandaoni wakishtusha chama cha Labour