Maafisa ujerumani wanataka majibu baada mshukiwa wa ugaidi raia wa Syria kujiua akiwa gerezani// Urusi na Marekani zimeahidi kuitisha tena mazungumzo ya amani kuhusu Syria// Shirika la ndege la Kenya, Kenya Airways limesema litasitisha uuzaji wa tiketi za usafiri kwa abiria ikiwa marubani hawatafutilia mbali mgomo ambao wameuitisha kuanzia wiki ijayo.