Rais Ruto: Naahidi kuyabadili maisha ya Wakenya/ Kenya inafungua ukurasa mpya na kumkaribisha rais wa tano William Ruto aliyeapishwa hii leo. Viongozi na marais 20 wa Afrika walihudhuria kumpongeza Ruto na naibu wake waliokula kiapo leo/ Putin wa Urusi ametumia ushawishi wake kukomesha mapigano kati ya Armenia na Azerbaijan