Tanzania imekabidhiwa uenyekiti wa baraza la mawaziri wa jumuiya ya maendeleo ya nchi za kusini mwa Africa SADC// Tanzania- Kamati ya kimataifa ya kuwalinda waandishi habari CPJ limeandika barua ya wazi kwa rais Magufuli, kuitaka serikali yake kufuta mashitaka dhidi ya mwandishi habari Kabendera// Uwanja wa ndege Hong Kong umefungua tena safari za ndege.