1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

13.08.2019 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S13 Agosti 2019

Leo Tanzania imepokea uenyekiti wa baraza la mawaziri wa jumuiya ya maendeleo ya nchi za kusini mwa Africa SADC kutoka kwa Namibia// Jinamizi la ufisadi limeiandama Kenya kwa muda mrefu. Hata hivyo, katika kaunti ya Makueni, iliopo eneo la Ukambani, kusini mwa Kenya, taswira ya matumaini inatawala eneo hilo.

https://p.dw.com/p/3Nqdp