Kundi la waasi la Allied Democratic Forces-ADF limekuwa likizidisha mashambulizi yake katika mji wa Beni na maeneo yanayolizunguka Kaskazini Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, licha ya juhudi za jeshi la nchi hiyo, na wa ujumbe wa Umoja wa Mataifa kulipiga vita kundi hilo.