1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

12.10.2017 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S12 Oktoba 2017

Serikali nchini Kenya imepiga marufuku maandamano kati kati ya miji ya Nairobi, Kisumu na Mombasa kwa sababu ya usalama wa wananchi na mali// Vyama viwili vilivyokuwa katika uhasama kwa muda mrefu huko Palestina,Fatah na Hamas leo vimefikia maridhiano ya kumaliza tafauti zao.

https://p.dw.com/p/2lkI5