1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

12.05.2022 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S12 Mei 2022

Baraza la Haki za Binaadamu la Umoja wa Mataifa leo linatarajiwa kuamua iwapo lianzishe uchunguzi kuhusu madai ya ukiukaji uliofanywa na vikosi vya Urusi kwenye eneo la mji wa Kiev+++apan na Umoja wa Ulaya zimekubaliana hii leo kuzidisha mbinyo dhidi ya Urusi+++Burundi wanaoendesha operesheni zao nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

https://p.dw.com/p/4BDYL