Tangu jana, Sudan inaongozwa na Baraza la kijeshi, baada ya kupinduliwa na kukamatwa kwa rais wa nchi hiyo Omar al-Bashir// Zaidi ya vijana elfu 15 kutoka nchi za Ukanda wa Maziwa makuu wanakutana mjini Goma, Mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo kwenye Kongamanao la amani// Leo ni siku ya kimataifa ya watoto wanaoishi na kufanya kazi mtaan.