Makubaliano ya kusitisha mapigano nchini Yemen, ambayo yamedhaminiwa na Umoja wa Mataifa yanaonekana kuheshimiwa na pande husika // Mashirika ya haki za binadamu duniani yametowa mwito wa kutaka katibu mkuu mpya atakayemrithi Ban Ki Moon // Mtazamo wa kisiasa uliyokuwepo kwa muda mrefu, umezuka tena huko Mashariki ya Kati